Back to home
Jamii ya Iteso yawataka wanasiasa kuhubiri amani
video
C
Citizen TV (Youtube)September 7, 2026
1h ago
Jamii ya Iteso imewataka wanasiasa kuhubiri amani, umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi. Wito huo umetolewa wakati wa sherehe ya kitamaduni iliyofanyika Emormor, Kaunti ya Busia.
Advertisement
Advertisement





