Back to home

Jamii ya Iteso yawataka wanasiasa kuhubiri amani

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 7, 2026
1h ago
Jamii ya Iteso imewataka wanasiasa kuhubiri amani, umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi. Wito huo umetolewa wakati wa sherehe ya kitamaduni iliyofanyika Emormor, Kaunti ya Busia.
Advertisement