Back to home

Kenya, Burundi waanza mazungumzo kuhusu wafanyabiashara wa kigeni

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 9, 2026
2h ago
Katibu wa mashauri ya Kigeni Korir Singoei ametangaza kuanza kwa mazungumzo kati ya serikali ya Kenya na Burundi Kutatua mzozo ulioko kuhusu wafanyabiashara wa asili ya KiRundi kuendelea kufanya biashara humu nchini. Katibu Sing'oei akiwanya wakenya dhidi ya kuwavamia raia wa kig
Advertisement