Back to home
Asilimia 76 ya Wakenya yasema nchi inaenda njia isiyofaa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
1h ago
Mwaka mmoja kabla ya Uchaguzi Mkuu, asilimia 76 ya Wakenya wanasema taifa linaelekea katika mwelekeo usiofaa, huku asilimia 15 pekee wakiamini kuwa Kenya inaelekea katika mwelekeo unaofaa.
Hayo ni kwa mujibu wa utafiti wa hivi karibuni wa kampuni ya TIFA, ambao pia umeonyesha ku
Advertisement
Advertisement




