Back to home
Hofu yawagubika raia wa kigeni licha ya kuongezwa kwa muda
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
2h ago
Hofu imeendelea kuwagubika raia wa kigeni kufuatia amri ya serikali kuwataka kuhalalisha uwepo wao nchini, licha ya serikali kuongeza muda wa miezi mitatu wa kuwa na stakabadhi na vibali vya kufanya biashara.
Taharruki hiyo imewafikia pia wakimbizi na raia wa kigeni wanaotafuta
Advertisement
Advertisement




