Back to home

Idara ya utabiri wa Hali ya Hewa nchini yathibitisha kuwa El Niño imeshaanza kushika kasi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 9, 2026
2h ago
Idara ya utabiri wa Hali ya Hewa nchini, imethibitisha kuwa El Niño imeshaanza kushika kasi na inatarajiwa kuimarika zaidi, huku mvua za juu ya wastani zikitarajiwa katika maeneo mengi ya nchi kati ya Oktoba na Disemba. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan new
Advertisement