Back to home

Baada ya siku 43 za mgomo, wauguzi watangaza kusitisha mgomo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 9, 2026
2h ago
Baada ya siku 43 za mgomo, wauguzi wametangaza kusitisha mgomo. Hii ni baada ya Muungano wa Wauguzi Nchini na Baraza la Magavana kufikia makubaliano ya kuendelea na mazungumzo kwa siku 45, huku masuala ya marupurupu ya hatari na sare yakikubaliwa. Subscribe and watch NTV Kenya l
Advertisement