Back to home
Kenya Kwanza yakosoa matamshi ya Hassan Omar kuhusu wapiga kura
video
C
Citizen TV (Youtube)September 14, 2026
2h ago
Viongozi wanaounga mkono serikali ya Kenya Kwanza wameendelea kukosoa matamshi ya Katibu Mkuu wa UDA, Hassan Omar, kuhusu usajili wa wapiga kura waliofariki.
Advertisement
Advertisement





