Back to homeWatch Original
Familia yalilia haki ya ndugu watatu wakimbizi walitoweka katika kambi ya Dadaab
video
June 21, 2025
2 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Familia moja katika Kambi ya Wakimbizi ya Hagardera, eneo bunge la Dadaab kaunti ya Garissa, imegubikwa na huzuni tangu mwezi septemba mwaka uliopita, baada ya wana wao watatu kutoweka katika mazingira ya kutatanisha. Vijana hao wanadaiwa kutekwa nyara na watu wanaodaiwa kutoka k..