Back to home

Wanasiasa wa Third Force wamtaka Duale kujiuzulu kwa sakata ya bima ya SHA

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 31, 2025
1w ago
Viongozi wa mrengo wa Third Force sasa wanasema wataanzisha mchakato wa kumbandua mamlakani waziri wa afya Aden Duale kufuatia sakata ya malipo ya SHA. Wakiongozwa na Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna, viongozi hawa wamelaumu serikali kwa kulegezea vita dhidi ya ufisadi. Haya yanaji