Back to home

Serikali yaweka masharti mapya kwa bodaboda

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 11, 2025
2h ago
Sekta ya boda boda nchini sasa itakuwa inadhibitiwa na sheria kali, ikiwemo usajili mpya unaoonyesha maeneo maalum ya vituo pamoja na sare za rangi tofauti kulingana na maeneo wanayohudumu. Hatua hizi zinalenga kukabiliana na kuongezeka kwa visa vya uhalifu na uteketezaji wa maga