Back to home
Mazungumzo Mapya ya amani Sudan yaaanza Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 11, 2025
2h ago
Mashirika ya Koffi Annan Foundation, Amina Live, na Magharib Centre yameanzisha upya mchakato wa kuleta mazungumzo kati ya pande zinazopigana nchini Sudan, kwa kuwaleta pamoja Generali Abdel Fattah al-Burhan na Generali Mohamed Hamdan Hemedti wa RSF