Back to home

Magenge Ya Kitale: Wakazi waishi kwa hofu

video
September 3, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Hofu na taharuki imetanda mjini Kitale huku magenge ya wahalifu yakiwakosesha amani wakazi. Mitaa ya Tuwani na Matisi imetekwa na magenge hayo yanayohusisha makundi ya vijana wenye umri wa kati ya miaka 13 na 30. Vijana hao wamekuwa wakiwahangaisha wenyeji kwa kutumia mapanga na ..