Back to homeWatch Original
Kifo cha Polisi Haiti: Familia yamwomba serikali usaidizi wa mazishi
video
September 3, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Familia ya afisa wa polisi kennedy mutuku nzuve aliyefariki nchini haiti inairai serikali kuwasaidia kuufikisha mwili wake nchini na kufanikisha mipango ya mazishi. Mamake mutuku, serah ndunge, anasema kifo cha mwanawe wa pekee ni pigo kubwa kwani alikuwa na matarajio ya kumwona ..