Back to home

Kilimo Biashara: Mbinu mpya zaongeza tija kwa rasilimali chache

video
September 3, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Ujumuishaji wa kilimo kisichotumia udongo pamoja na ufugaji wa samaki na kuku umempatia mkulima mmoja katika Kaunti ya Kiambu mavuno bora kutokana na mbinu hiyo endelevu inayotumia rasilmali chache kupata mapato ya kuridhisha. Mbinu hiyo inamwezesha kuongeza uzalishaji, kuokoa ma..