Back to home

Msako wafanywa kunasa magenge ya vijana wahalifu

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 8, 2025
16h ago
Idara ya usalama Mjini Malindi, kaunti ya Kilifi sasa inaripoti mafanikio katika juhudi za kukabiliana na magenge ya vijana wanaojulikana kama Mawoza baada ya kuwakamata na kuwafungulia mashtaka zaidi ya vijana 350.