Back to home

Kalonzo aishtumu serikali kutotilia maanani mgomo wa wahadhiri

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 29, 2025
2h ago
Kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka amekashifu serikali kwa kile anasema ni kutotilia maanani masuala ya wahadhiri wanaogoma kwa wiki ya tatu sasa. Akiwahutubia viongozi wa wanafunzi wa vyuo vikuu katika makao makuu ya chama hicho, Kalonzo amesema serikali ya sasa imeharibu sekta y