Back to home

Mfanyabiashara Abdisamed Ahmed kutoka Kakuma Turkana alitekwa nyara

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 30, 2025
2h ago
Familia moja mjini Kakuma kaunti ya Turkana inalilia haki ikiitaka idara ya ujasusi, kuisaidia kutafuta jamaa yao Abdisamed Ahmed Boruka, anayedaiwa kutekwa nyara mwezi uliopita akiwa Eastleigh Nairobi katika shughuli za kibiashara. Na kama anavyoarifu Cheboit Emmanuel, licha ya