Back to home
Wakulima wa majani chai washauriwa kutong'oa michai Kericho
video
C
Citizen TV (Youtube)October 1, 2025
2h ago
Wakulima wa majani chai wameshauriwa kutong'oa michai kwenye mashamba yao kutokana na bonasi duni ya chai iliyotangazwa majuzi. Huu ni ushauri wa viongozi wa kina mama kutoka muungano wa wanawake wakulima wa chai wakizungumza kaunti ya Kericho.