Back to home
Viongozi wa kaunti watakiwa kutoa hamasisho kuhusu rasilimali
video
N
NTV Kenya (Youtube)October 1, 2025
2h ago
Magavana wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Kanda ya Ziwa (LREB) wametoa wito kwa viongozi wa kaunti kuhamasisha rasilimali na kuweka mikakati endelevu ili kuimarisha ustahimilivu wa mabadiliko ya tabianchi katika kaunti zao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news toda