Back to home

Mwanaharakati aliyeponea kutekwa nyara Uganda pamoja na wenzake asimulia yaliyojiri

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 4, 2025
3h ago
Siku nne baada ya mwanaharakati Bob Njangi na rafikiye Nicholas Oyoo kutekwa nyara nchini Uganda, mwenzao aliyeponyoka, Koffi Atinda anaelezea matukio hayo. Koffi aliwasili humu nchini Jumamosi baada ya changamoto nyingi nchini Uganda na anadai kuwa waliomteka nyara walikuwa wame