Back to home

Wazazi watakiwa kuwapa wasichana nafasi sawa na wavulana katika elimu

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 13, 2025
2h ago
Mwakilishi wa Kudumu wa Kenya katika shirika la UN-Habitat, Susan Nakhumicha, amewahimiza wasichana kutia bidii katika masomo yao ili kufanikisha ndoto zao huku akiwakashfu baadhi ya wazazi ambao hawathamini elimu ya mtoto wa kike.