Back to home
Wahadhiri wa vyuo vikuu wakataa kurejea kazini
video
C
Citizen TV (Youtube)October 24, 2025
4d ago
Mkutano kati ya wahadhiri wa vyuo vikuu vya umma na maafisa wa serikali umekosa kupata muafaka baada ya chama cha wafanyikazi (KUSU) na muungano wa wahadhiri (UASU) kusisitiza wahadhiri walipwe jumla ya shilingi bilioni 7.9 kabla ya mazungumzo ya kurejea kazini kufanyika.





