Back to home
Baraza la Mawaziri lataka sheria za SHA zibadilishwe
video
C
Citizen TV (Youtube)November 7, 2025
2h ago
Kuna uwezekano maelfu ya wafanyakazi wa serikali za kaunti kutopata huduma za afya kupitia bima ya kitaifa ya SHA, kutokana na kuendelea kucheleweshwa kwa mgao wa fedha za ugatuzi. Ni swala ambalo limelisukuma baraza la magavana kupitia kamati ya afya kupendekeza mabadiliko kweny




