Back to home

Dunia yaadhimisha siku ya wanaozaliwa kabla ya wakati wao

video
C
Citizen TV (Youtube)
November 17, 2025
4h ago
Ulimwengu unaadhimisha siku ya watoto waliozaliwa kabla ya wakati wao kufika Jumatatu hii . Dhima kuu mwaka huu ni kuwapa watoto hao msukumo wa kuanza maisha kwa nguvu ili kuwa na siku bora za usoni. Na kama anavyoarifu Aisha Seif, takwimu zinaonyesha kuwa watoto 134,000 huzaliwa