Back to home
Walimu walalamikia kutopewa kandarasi za kudumu shuleni Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)November 19, 2025
4h ago
Walimu wa shule za sekondari msingi katika kaunti ya Kajiado wamejiunga na wenzao kote nchini kutoa shinikizo kwa serikali kuwapa ajira ya kudumu pamoja na kupewa mishahara ya juu. Walimu hao ambao wanasema watalazimika kuendeleza misururu ya maandamnano mwakani wameapa kutorejea





