Back to home
Wakaazi wa Kapchemutwa waandamana wakidai kunyanyaswa katika utoaji wa kandarasi za kuvuna miti
video
N
NTV Kenya (Youtube)December 1, 2025
1h ago
Baadhi ya wakaazi katika wadi ya Kapchemutwa kaunti ya Elgeyo Marakwet wameandamana wakidai kunyanyaswa katika utoaji wa kandarasi za kuvuna miti iliyokomaa kwenye msitu wa serikali wa kapchemutwa.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as





