Back to home
Ajali yaua 6 kikopey
video
C
Citizen TV (Youtube)January 3, 2026
1d ago
Idadi ya watu walioaga dunia kufuatia ajali ya barabarani eneo la Kikopey, Gilgil kaunti ya Nakuru imefikia sita baada ya mtu mmoja kuaga dunia alipokuwa akitibiwa hospitalini. Ajali hiyo ilihusisha trela mbili na gari la abiria. Watu wengine saba walijeruhiwa vibaya
Advertisement
Multiple Fatal Road Accidents Reported in Machakos and Nakuru Counties - January 2026
Fourteen people have died in two separate road accidents that occurred in Machakos and Nakuru counties. The death toll from a road accident in Katumani on the Nairobi-Mombasa Highway has risen to eight, following the deaths of two more individuals at Machakos Level 5 Hospital. In Nakuru County, a separate tragic road accident in Kikopey, Gilgil, has resulted in the deaths of six people. The death toll in the Kikopey accident also rose after one victim succumbed to injuries while receiving treatment. NTV Kenya highlighted a concerning return of fatalities on Kenyan roads in 2026.
Breaking down road accidents as death returns on Kenyan roads in 2026
NTV Kenya (Youtube)
Video
Watu 14 waaga dunia kwenye ajali mbili tofauti zilizotokea kwenye kaunti ya Machakos na Nakuru
NTV Kenya (Youtube)
Video
Watu 8 wafariki kufuatia ajali ya barabarani katumani
Citizen TV (Youtube)
Video
4 stories in this topic
View Full CoverageAdvertisement



