Back to home

Mwaka wangu: Mauaji, Kware na Jumaisi

video
C
Citizen TV (Youtube)
January 3, 2026
1d ago
Mwaka wa 2025 ulitajwa kuwa mwaka uliokuwa na visa zaidi vya mauaji ya wanawake, huku takriban kila wiki, vifo vya wanawake waliouawa kwenye dhulma mbalimbali vikiripotiwa. Mojawapo ya visa vilivyogonga vichwa vya habari kwa muda ni kile cha mauaji ya wanawake eneo la quarry mtaa
Advertisement