Back to home
Waziri wa Maji Eric Mugaa abatilisha kandarasi ya mfumo wa majitaka mjini Meru
video
C
Citizen TV (Youtube)January 13, 2026
3h ago
Waziri wa maji na unyunyiziaji mashamba Eric Mugaa amemwachisha kazi mwanakandarasi aliyekuwa akijenga Mtambo wa majitaka wa mji wa Meru eneo la Rwanyange kwa sababu ya utepetevu.
Waziri Mugaa amesema mwanakandarasi huyo ambaye alianza ujenzi huo mwaka wa 2019 kwa gharama takriba
Advertisement
Advertisement





