Back to home

Maafisa watatu Garissa washtakiwa kuhusiana na ufisadi wa shilingi milioni 51 kwa misaada ya njaa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 27, 2026
2h ago
Maafisa watatu wa kaunti ya Garissa wamefikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kuilaghai kaunti hiyo shilingi milioni 51 zilizokusudiwa kununua chakula cha msaada kwa waathiriwa wa baa la njaa mwaka 2022. Miongoni mwa washtakiwa ni afisa wa maendeleo ya jamii katika kaunti hiyo a
Advertisement