Back to home
Waathiriwa jijini Nairobi waanza maisha yao upya
video
C
Citizen TV (Youtube)March 8, 2026
1d ago
Shughuli za kawaida zimeanza kurejea kawaida katika maeneo mengi ya Nairobi, ambako maafa ya mafuriko ya Ijumaa usiku yalishuhudiwa. Picha za angani zikionyesha kiwango cha uharibifu huku maji yakiwa bado yamejaa katika baadhi ya maeneo ya mijini.
Advertisement
Advertisement





