Back to home
Vyuo vikuu vyaonywa kuhusu kozi ambazo hazijaidhinishwa
video
C
Citizen TV (Youtube)March 12, 2026
2h ago
Tume ya elimu ya vyuo vikuu imetishia kutwaa leseni za kuhudumu za Vyuo vikuu ambavyo vinatoa masomo ambayo hayajaidhinishwa.
Akitoa ilani hiyo, Afisa mkuu wa tume hiyo Mike Kuria amesema kuwa tayari vyuo kumi na vitano vilivyokuwa vikihudumu kinyume na sheria vimepkonywa leseni.
Advertisement
Advertisement
![| MASKANI | Utekelezaji wa ajenda 10 [ Part 1 ]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-MASKANI-Utekelez_1773305397-16x9.jpg)
![| MASKANI | Utekelezaji wa ajenda 10 [ Part 2]](/img/news-16x9.png)







