Back to home

Wawekezaji wasinywa Tana River na migogoro ya kijamii

video
C
Citizen TV (Youtube)
March 26, 2026
1h ago
Migogoro ya kijamii katika kaunti ya Tana River imechangia kaunti hiyo kukosa wawekezaji. Akizungumza wakati wa kukabidhi kampuni ya moja kutoka Canada barua ya mgao wa kipande cha ardhi, Gavana wa kaunti hiyo Dhadho Godhana amesema siasa za chuki na uchochezi zimerudisha nyuma
Advertisement