Back to home
Wanachama wapya wa UDA zaidi ya 200 wasajiliwa kijijini Katangini, Kwale
video
C
Citizen TV (Youtube)March 26, 2026
2h ago
Chama cha UDA katika Kaunti ya Kwale kimeanzisha shughuli ya usajili wa wanachama mashinani ili kujiimarisha kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027.
Shughuli hiyo iliongozwa na baadhi ya viongozi wa chama hicho katika wadi ya Kubo South eneo la Shimba Hills waliowahimiza
Advertisement
Advertisement





