Back to home
Gavana wa Kajiado Joseph Ole Lenku akagua miradi ya kaunti na kuwahimiza wakazi kusajili SHA
video
C
Citizen TV (Youtube)March 26, 2026
2h ago
Gavana wa Kajiado, Joseph Ole Lenku, amewahimiza wakazi wa kaunti hiyo kujiunga na bima ya afya ya SHA ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za matibabu na kupunguza gharama .
Akizungumza wakati wa ziara yake katika eneo la Kajiado Kaskazini alikokagua miradi mbalimbali ya serika
Advertisement
Advertisement





