Back to home

Kanja aonya wahuni, ataja uhuni tishio kwa usalama wa taifa

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 17, 2026
2h ago
Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja sasa ametaja uhuni unaoendelea nchini kama tishio kubwa kwa usalama wa kitaifa. Kwenye hotuba yake kwa wanahabari jioni ya leo, Kanja ameonya kuwa wahuni watakabiliwa vilivyo na kuwataka wasitishe tabia hiyo. Aidha amekashifu vitendo vya
Advertisement