Back to home

Msako wa maafisa wa usalama waendelea Angata Barrikoi baada ya wizi wa mifugo

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 5, 2026
1h ago
Hali imesalia tete katika eneo la Angata Barrikoi, eneobunge la Transmara, ambako maafisa wa usalama wanafanya msako wa majangili waliojihami kwa bunduki sita na kuvamia kijiji cha Kaituro. Katika uvamizi huo, zaidi ya mifugo 130 waliibwa. Wakazi wa eneo hilo sasa wanaitaka serik
Advertisement