Back to home

Wakulima wa pamba kaunti ya Lamu wataka serikali kupiga jeki kilimo cha pamba

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 14, 2026
7h ago
Wakulima wa pamba kaunti ya Lamu wamehimiza serikali kupiga jeki kampeni ya "buy Kenya, build Kenya" kwa kuhakikisha kuna kampuni zaidi za kutengeneza manguo eneo hilo kama njia ya kuongeza ajira na kuhimiza ukuzaji wa pamba
Advertisement