Back to home
Serikali yatakiwa kufadhili kilimo kisichotumia kemikali
video
C
Citizen TV (Youtube)May 15, 2026
1h ago
Kundi moja la wakulima latoa wito kwa serikali kuongeza ufadhili wa kutosha katika kilimo cha kimazingira, likitaja faida kubwa za kiafya na kimazingira zitakazopatikana kutokana na kilimo hicho.
Advertisement
Advertisement





