Back to home

Serikali yazindua rasmi ujenzi wa hospitali ya kumbukumbu ya Nzamba Kitonga

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 15, 2026
1h ago
Serikali ya kitaifa kupitia wizara ya ulinzi kwa ushirikiano na serikali ya kaunti ya kitui imezindua rasmi ujenzi wa hospitali ya kumbukumbu ya nzamba kitonga katika wadi ya mutitu/kaliku, kitui mashariki, mradi unaotarajiwa kugharimu shilingi milioni mia mbili. Subscribe and w
Advertisement