Back to home
Mwanaume ashambuliwa kutokana na tofauti za kisiasa
video
C
Citizen TV (Youtube)May 15, 2026
1h ago
Maafisa wa polisi mjini Garissa wachunguza kisa ambapo mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 36 auguza majeraha mabaya baada ya kushambuliwa na jamaa zake wa karibu kutokana na tofauti za kisiasa.
Advertisement
Advertisement





