Back to home

Kindiki awapongeza wahudumu wa matatu kwa kusitisha mgomo wa mafuta

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 19, 2026
3h ago
Naibu Rais Kithure Kindiki amewapongeza wahudumu na wamiliki wa matatu nchini kwa kuitikia wito wa serikali wa kusitisha mgomo wa kulalamikia bei ya juu ya mafuta. Kindiki amesema kuwa serikali inaendelea kuangazia njia za kuhakikisha bei ya mafuta inapungua katika kipindi hiki c
Advertisement