Back to home
Mwanamke azuiliwa Kisii kwa tuhuma za mauaji ya mhudumu wa bodaboda
video
C
Citizen TV (Youtube)May 21, 2026
1h ago
Polisi mjini Kisii County wanamzuilia mwanamke mmoja ambaye amekuwa akitafutwa kwa zaidi ya miezi sita kwa tuhuma za kumuua mhudumu wa bodaboda.
Advertisement
Advertisement


