Back to home

Mashujaa wa uokozi wasimulia walivyookoa wanafunzi Gilgil

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 29, 2026
2h ago
Usiku wa Jumanne, mkasa ulipotokea katika Shule ya Wasichana ya Utumishi, Gilgil, Kaunti ya Nakuru, waokoaji wa kwanza walijitosa kwneye eneo la mkasa bila kusita, kuwaokoa wasichana waliokuwa wamekwama ndani. Maryanne Nyambura alikutana na mmoja wao ambaye alimsimulia jinsi wali
Advertisement