Back to home
Mashujaa wa uokozi wasimulia walivyookoa wanafunzi Gilgil
video
C
Citizen TV (Youtube)May 29, 2026
2h ago
Usiku wa Jumanne, mkasa ulipotokea katika Shule ya Wasichana ya Utumishi, Gilgil, Kaunti ya Nakuru, waokoaji wa kwanza walijitosa kwneye eneo la mkasa bila kusita, kuwaokoa wasichana waliokuwa wamekwama ndani.
Maryanne Nyambura alikutana na mmoja wao ambaye alimsimulia jinsi wali
Advertisement
Advertisement





