Back to home
Madaktari nchini washinikiza serikali kutoa maelezo kamili kuhusu makubaliano ya Ebola na Marekani
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 30, 2026
1h ago
Mvutano mkali unaendelea kuibuka kufuatia mpango unaopendekezwa wa kuanzisha kituo cha karantini ya Ebola kinachodaiwa kufadhiliwa na Marekani katika kaunti ya Laikipia, huku madaktari nchini Kenya wakizidi kuishinikiza serikali kutoa maelezo kamili kuhusu makubaliano hayo.
Sub
Advertisement
Advertisement





