Back to home

Madaktari wapinga kituo cha Ebola Laikipia, wataka kijengwe DRC

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 30, 2026
2h ago
Madaktari na wahudumu wa afya nchini sasa wanataka kituo cha karantini na matibabu ya ebola kwa raia wa marekani kuanzishwa nchini DRC badala ya katika kaunti ya Laikipia humu nchini. Muungano wa madaktari unasema kuwa matibabu na udhibiti zinafaa kufanyika kwenye kitovu cha ugon
Advertisement