Back to home
Wadau wa sanaa Kajiado watumia mashindano kukemea ukatili dhidi ya wanawake
video
C
Citizen TV (Youtube)June 2, 2026
3h ago
Wadau katika sekta ya sanaa katika Kaunti ya Kajiado County wamejitokeza kutumia Mashindano ya Sanaa ya Ulimwende kuangazia na kukemea changamoto mbalimbali zinazowakumba wanawake, ikiwemo ukeketaji na mauaji ya kiholela.
Advertisement
Advertisement





