Back to home
Viongozi wa UDA wazidisha kampeni za Samuel Muchina katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2026
2h ago
Kampeni za uchaguzi mdogo wa Ol Kalou zimepamba moto viongozi wa UDA wakiongozwa na Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru wakizidisha juhudi za kumnadi mgombea wao Samuel Muchina, wakisisitiza kuwa uchaguzi huo ni nafasi ya kuendeleza miradi ya maendeleo katika eneo hilo.
Advertisement
Advertisement





