Back to home
Serikali ya kaunti ya Kwale yaunga mkono kesi ya ardhi Mteza Mbuguni
video
C
Citizen TV (Youtube)July 21, 2026
5h ago
Serikali ya Kaunti ya Kwale imejitosa rasmi katika mapambano ya kisheria ya wakazi wa Mteza Mbuguni, Kaunti ndogo ya Matuga, wanaopinga utoaji wa zaidi ya hatimiliki elfu nne za ardhi wanazodai zilitolewa kinyume cha sheria.
Advertisement
Advertisement





