Back to home

LSK yasema mgomo wa mawakili utaendelea

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 22, 2026
2h ago
Chama cha wanasheria nchini LSK kinasema kuwa mgomo wa mawakili kulalamikia idara ya mahakama utaendelea licha ya shughuli kuonekana kuendelea katika mahakama kadhaa nchini. Hata hivyo, baadhi ya kesi zililazimika kuahirishwa kutokana na mgomo huu wa mawakili. Mwenyekiti wa LSK C
Advertisement